FUATANA NASI UPATE KUJUA ALICHOSEMA 'POLE POLE' KUHUSU KUMPATA MGOMBEA WA CCM 2020

Baada ya taarifa zilizoenea zikidai kuwa Katiba ya CCM imebadilishwa hivyo kumruhusu mgombea wa kiti cha urais ndani ya CCM kupita bila kupingwa kwa muhula wa pili, jana March 26 2017 Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole amelitolea ufafanuzi… Tazama hii video hapa chini.


kwa msaada wa Millard Ayo

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search