'msiba wa kitaifa' limeandika kwa wino mkolezo The Citizens; 'mama muhanga wa tukio nae afariki awafuata watoto wake watatu na mumewe..

Kuna taarifa kutoka chanzo cha habari cha kuaminika juu ya kufariki kwa mzazi ‘muhanga’ wa tukio la ajali ya wanafunzi Karatu. Taarifa inasema mama huyo alipoteza watoto wawili kwenye ajali hiyo na mtoto mmoja ambaye alikuwa kwenye uangalizi wake.
Cha kusikitisha zaidi ni kwamba mume wa mama huyo nae alifariki katika tukio la ajali miezi michache iliyopita… tutaendelea kuwajuza, kaa nasi hapa hapa…..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search