Breaking News: Alichoandika Zitto Kabwe baada ya Taarifa mpya ya Mauaji Kibiti usiku wa Kuamkia Leo.. #share..

Kuna Taarifa mpya za mauaji maeneo ya Kibiti: Ameandika Zitto Kabwe, na kisha kaisihi serikali... 

"Mauaji mengine Kibiti! Usiku wa kuamkia leo Afisa Mtendaji kijiji cha Mangwi Kata ya Mchukwi na Mwenyekiti wake wameuwawa kwa risasi na baadaye kuchoma moto nyumba.

"Naisihi Serikali itazame jambo hili la MKIRU ( Mkuranga, Kibiti na Rufiji) Kwa mtazamo mpana na wenye weledi. Tambo za IGP na Amiri Jeshi Mkuu zinaonekana ni maneno matupu. Wananchi wana haki ya kujua nini kinaendelea MKIRU..."


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search