CCM wampitisha Mtulia, Mollel kugombea ubunge Kinondoni, Siha...soma habari kamili na matukio360..#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwa mamlaka iliyokasimiwa kwake na kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) imewateua Godwin Mollel kugombea ubunge jimbo la Siha, Kilimanjaro na Maulid Mtulia kugombea jimbo la Kinondoni, Dar es Salaam.
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC) ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na kwa mamlaka iliyokasimiwa kwake na kikao cha Halmashauri Kuu (NEC) imewateua Godwin Mollel kugombea ubunge jimbo la Siha, Kilimanjaro na Maulid Mtulia kugombea jimbo la Kinondoni, Dar es Salaam.
Mtulia aliyekuwa mbunge wa Kinondoni kwa tiketi ya CUF na Mollel aliyekuwa mbunge wa Siha kwa tiketi ya Chadema, hivi karibuni wote walitangaza kujiuzulu nyazifa zao na kuhamia CCM kwa madai kuwa ni kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli katika kupigania rasalimali za nchi.
Uchaguzi wa marudio wa majimbo hayo utafanyika Februari 17, 2018
Uchaguzi wa marudio wa majimbo hayo utafanyika Februari 17, 2018







No comments:
Post a Comment