China yaipa Zanzibar bilioni 34.9 ...soma habari kamili na matukio 360...#share
Waziri wa Fedha na
Mipango Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed kushoto akitiliana saini na Balozi
mdogo wa China alioko Zanzibar, Xie Xiao Wu kulia msaada wa fedha za
Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi
mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na
Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed kushoto wakibadilishana hati na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu kulia baada ya kutiliana saini Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt, Khalid Salum Mohammed kushoto wakipea na Mikono na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu kulia baada ya kutiliana saini Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt, Khalid Salum Mohammed kulia akizungumza machache baada ya kutiliana saini na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed kushoto wakibadilishana hati na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu kulia baada ya kutiliana saini Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt, Khalid Salum Mohammed kushoto wakipea na Mikono na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu kulia baada ya kutiliana saini Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt, Khalid Salum Mohammed kulia akizungumza machache baada ya kutiliana saini na Balozi mdogo wa China alioko Zanzibar Xie Xiao Wu Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed akisisitiza
jambo alipozungumza machache baada ya kutiliana saini na Balozi mdogo wa China
alioko Zanzibar Xie Xiao Wu Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi
Bilioni 34.9 ambazo zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika
katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
Waziri wa Fedha na
Mipango Zanzibar Dkt,Khalid Salum Mohammed wapili kulia akiwa katika picha ya
pamoja na Balozi mdogo alioko Zanzibar Xie Xiao Wu baada ya kutiliana saini
Msaada wa Fedha za Kitanzania Shilingi Bilioni 34.9 ambazo
zitasaidia miradi mbalimbali ya Zanzibar hafla iliofanyika katika ukumbi wa
Wizara ya Fedha na Mipango Vuga mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment