Magufuli apiga marufuku aina zote za michango shule msingi, sekondari ....soma habari kamili na matukio360..#share


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ,Profesa Joyce Ndalichako Ikulu jijini Dar es salaam.  Rais amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za  msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo. Taarifa kamili inakuja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifafanua jambo kwa msisitizo mara baada ya kukutana na Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Selemani. Jafo (kushoto) na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce Ndalichako  (kulia) Ikulu jijini Dar es salaam.  Rais amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukutana na Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Selemani  Jafo (kushoto) na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce Ndalichako (kulia) Ikulu jijini Dar es salaam. Rais amepiga marufuku aina yoyote ya michango katika shule za serikali za msingi na sekondari na amewaagiza mawaziri hao kusimamia hilo.
.Picha naIKULU



Bottom of Form



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search