Magufuli awajulia hali mapacha waliolazwa...soma habari kamili na matukio360...#share

Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam


RAIS John Magufuli amewajulia hali mapacha walioungana, Maria na Consolata Mwakikuti waliolazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.

Maria na Consolata ni wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Kanisa Katoliki Ruaha (RUCU).






About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search