Jinsi Kingunge Ngombale Mwiru alivyozikwa .....soma habari kamili na matukio360....#share
Na Abraham Ntambara, Dar es salaam
RAIS John Magufuli amewaongoza maelfu ya watu kuuzika mwili wa mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam
Rais Magufuli akiweka mchanga katika kaburi la marehemu Kingunge Ngombale Mwiru katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam
RAIS John Magufuli amewaongoza maelfu ya watu kuuzika mwili wa mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam
Rais Magufuli akiweka mchanga katika kaburi la marehemu Kingunge Ngombale Mwiru katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam

















No comments:
Post a Comment