Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania Dkt.James Wakibara na Kaimu Mkurugezi wa Utalii na Huduma za Biashara watembelea ofisi za KDU-Bunda na Pori la akiba Kijereshi

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAWA Dkt. James Wakibara anendelea na mpango wake wa kutembelea vituo na kuongea na wafanyakazi wa TAWA nchini.
Katika Ujumbe wake alipotembelea na kuongea na Watumishi wa KDU Kanda ya Serengeti, Dkt James Wakibara amewahimiza watumishi wote nchini juu "umuhimu na ulazima wa mabadiliko ya kiutendaji kutoka walipokuwa Idara ya Wanyamapori na sasa Mamlaka ya Wanyamapori nchini.

Mkurugenzi Mkuu (wa tatu kutoka kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa KDU-Kanda ya Serengeti na pori la Kijereshi

Pichani chini ni matukio mbalimbali yaliyojiri wakati Bw. Dkt.James Wakibara akiwa ziarani.



Dr James Wakibara akipokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli kutoka kwa kaimu Meneja wa Pori la Akiba Kijereji lililopo wilaya ya Busega Mkoa wa Simiyu"


Mkurugenzi Mkuu wa TAWA akiongea na Watumishi wa KDU Kanda ya Serengeti


Watumishi wa KDU Serengeti wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa TAWA
Imeandaliwa na Afisa Habari na Mahusiano wa TAWA Bw. Twaha Twaibu.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search