BREAKING NEWS!! RAIS ATEUA WAJUMBE KAMATI PILI YA UCHUNGUZI SAKATA LA "MCHANGA WA MADINI"
Rais Dkt John Pombe Magufuli leo tarehe 10 ameteuwa Wajumbe Wa Kamati Ya Pili Itakayofanya Uchunguzi Wa Madini yaliyomo katika 'machanga wa madini' uliohifadhiwa kwenye makaontena ya sehemu mbali mbali nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mchana huu na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Wajumbe wa Kamati hiyo wataapishwa kesho Jumanne tarehe 11/04/2017.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa mchana huu na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Wajumbe wa Kamati hiyo wataapishwa kesho Jumanne tarehe 11/04/2017.




No comments:
Post a Comment