VIDEO: SIKILIZA 'MABISHANO MAKALI' YA KIGANGWALA NA MBUNGE GOODLUCK MILINGA WA ULANGA !!

Mapema Bunge leo Mhe. Goodluck Milinga wa Ulanga aliuliza swali katika Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto.. 'matukio' tumekuangazia majibu ya swali hilo ambalo lilizua mabishani huku Mhe. Kigangwala Naibu Waziri wa Wizara hiyo akikataa kuitwa 'waziri kijana'. Na ndipo Mhe. Ummy Mwalimu nae akalitolea ufafanuzi suala hilo.
Bofya kiunganishi hapa chini.. (source: Ayo Tv)

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search