Magazetini Leo 11/06/2017: Soma kuu zifuatazo.. Bajeti hii ni 'mwiba' kwa walalahoi,..limeandika The Citizen... #SHARE. Taifa Stars yaanza Safari ya Matumaini AFCON..
IGP Sirro: Kuna mambo haelezeki Mauaji ya Kibiti' 'Dude laja Ripoti ya Pili Mchanga wa Dhahabu ikisubiri kupakuliwa kesho.. macho, masikio ni kesho Ikulu kwa JPM, Maalim Seif alivaa Bunge 'kifungo' cha Halima Mdee na Ester Bulaya,.. UNICEF yaagiza wahasiriwa wa mimba za utotoni waendelee na masomo baada ya kujifungua..























No comments:
Post a Comment