tREANDING sPORTS nEWS: Simbu ashika nafasi ya tatu mbio za dunia za IAAF zinazoendelea jijini London..#share

Mtanzania Alphonce Felix Simbu amefanikiwa kushika nafasi ya tatu katika mbio za dunia za IAAF zinazoendelea kufanyika nchini Uingereza katika jiji la London.



Simbu ameshika nafasi hiyo nyuma ya Mkenya aliyeshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na Muethiopia aliyeshika nafasi ya tatu.

Akitumia masaa 2 na dakika 10 Simbu aliweza kushika nafasi ya tatu baada ya kumpita Mkenya mwingine aliyekuja kushika nafasi ya tano.

Nafasdi hiyo Simbu ameipata kwa mara ya kwanza baada ya mwaka jana katika mbio ndefu za London Marathon kushika nafasi ya tano.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search