KUWAVUA WAALIMU WAKUU VYEO KISA MWANAFUNZI KAFELI NI UDHALILISHAJI; HATUTAKUBALI - MSIKILIZE MBUNGE DOTO BITEKO ALIVYOFUNGUKA BUNGENI LEO!

Mbunge wa Bukombe Doto Biteko amesema haikubaliki hatua ya kuwavua madaraka wakuu wa shule kwa sababu ya kufeli kwa wanafunzi, amezitaja baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha wanafunzi kufeli ambazo Serikali ikiziangalia zitasaidia kuboresha viwango vya elimu nchini.
Na: Ayo Tv

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search