REA WAPATA BODI MPYA !

PROF MUHONGO

Mhe. Prof. Sospeter M. Muhongo (Mb.), Waziri wa Nishati na Madini, ameteua Mwenyekiti na Wajumbe Wapya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kutokana na Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu Nambari 5(1) (b) na Nambari 8(3) cha Sheria ya Nishati Vijijini ya mwaka 2005.

Wajumbe wapya walioteuliwa kwa kipindi hicho ni:
  1. Gideon Kaunda –  Mwenyekiti
  2. Innocent G. Luoga –  Mjumbe
  3. Happiness Mhina –  Mjumbe
  4. Stella Mandago –  Mjumbe
  5. Scholastica H. Jullu – Mjumbe
  6. Amina H. Chinja –  Mjumbe
  7. Theobald Sabi        –  Mjumbe
  8. Michael P. Nyagoga –  Mjumbe
Uteuzi huo ni wa kipindi cha miaka mitatu (3) kuanzia tarehe 1 Aprili, 2017.
Imetolewa na Prof. James Mdoe
Kaimu Katibu Mkuu
Aprili 20, 2017

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search