STANSLAUS MABULA ALIA NA WAMACHINGA !

Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula alikuwa mmoja wa Wabunge waliopata nafasi ya kuchangia bajeti ya Wizara Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa serikali za mitaa iliwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka wa fedha 2017/2018 iliyowasilishwa bungeni April 18, 2017.
Kati ya vitu alivyogusia ni pamoja na changamoto zinazowakabili wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kama machinga


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search