STEVE NYERERE AFUNGUNGA KUHUSU MAANDAMANO YA WASANII- 'FILAMU ZA NJE HAZIKUANZA LEO WALA JANA.. MSIKILIZE...

kufuatia maandamano ya wasanii wa ambao waliandamana jana katika mitaa ya Kariakoo wakipinga uingizwaji wa filamu za nje na urudufishwaji wa filamu za ndani huku wakiwataka wamachinga wanaouza filamu hizo waache mara moja, msanii wa tasnia hiyo Steve Nyerere ameelezea msimamo wake kwa nini hakushiriki katika maandamano hayo na mambo mengine ya msingi.. fungua kiunganishi hapa chini kwa hisani ya Globa tv online:
 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search