GOOD NEWS!! Tozo za Barabarani zimeshuka kwa asilimia 30.9 kwa wiki..
Jeshi La Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limekusanya kiasi cha Tsh. milioni 304 kutokana na tozo za makosa mbalimbali, ikiwa ni pungufu kwa 30.9% kutoka 440million zilizokusanywa kwa wiki iliyoishia Mei 21, 2017.
![]() |
Kamanda Sirro |
Mapungufu haya ya mapato kwa upande mmoja 'habari njema' na faraja miongoni mwa watumiaji wa barabara kwa tafsiri ya madereva kuwa waangalifu zaidi na kufuata kanuni zinazohimizwa na Jeshi la Polisi Nchini za 'Utii wa Sheria Bila Shuruti' hivyo kuepuka kukamatwa kwa makosa mbali mbali na kutozwa faini !!
No comments:
Post a Comment