KUTOKA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM: Zikufikie Salaam Za Mfungo wa Ramadhan Kutoka kwa Mhe. Rais JPM!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli ametuma Salaam Maalum kwa Waumini wa Dini ya Kiislam Nchini wakati huu wakianza rasmi Ibada Muhimu ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Katika sehemu ya Ujumbe wake Rais amewataka Waislamu kuliombea Taifa lidumu katika hali ya Amani, Upendo na Mshikamano.
Tumekuwekea sehemu ya ujumbe huu uliosainiwa na Mhe. Rais hapa chini.. bonyeza 'share' ili Watanzania wote waone Mapenzi haya makubwa kabisa ya Rais kwa Wananchi wake.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search