Picha 21: Kutoka Royal Family Jijini London, Malkia alivyakabidhi Medali kwa 'Mpanda Farasi' Bora 2017..
Katika tukio lililosisimua familia ya Kifalme Nchini Uingereza, Malkia Elizabeth hakutaka kupitwa na jambo licha ya kuuguliwa na mumewe ambae amelazwa Hospilini, alijitokeza kumvalisha medali ya Dhahabu mcheza farasi wa mwaka 2017 James Doyle, katika Sherehe iliyojaa kila aina ya mbwembwe!
Matukio hatukupitwa na tukio hili la kusisimua. tumekusogezea picha 21 za tukio zima na wewe uweze kuosha macho!!
Matukio hatukupitwa na tukio hili la kusisimua. tumekusogezea picha 21 za tukio zima na wewe uweze kuosha macho!!
No comments:
Post a Comment