TANZIA NEWS!! Dr. Harrison Mwakyembe amefiwa na Mke wake Bi Linah Mwakyembe . #share
Tumepokea taarifa ya Msiba wa Mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Dr Harison Mwakyembe aliefariki usiku wa kuamkia leo..
Bi Linah George Mwakyembe alikuwa amelazwa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) hospitali ya Aga khan kwa muda mrefu...
Matukio360 tunaungana na Watanzania kumtakia pole Dr. Mwakiembe na wafiwa wote..
Bi Linah George Mwakyembe alikuwa amelazwa kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) hospitali ya Aga khan kwa muda mrefu...
Matukio360 tunaungana na Watanzania kumtakia pole Dr. Mwakiembe na wafiwa wote..
No comments:
Post a Comment