sAD nEWS: Ofisi za wanasheria Fatma Karme na Lawrence Masha zawaka Moto alfajiri ya leo Upanga jijini Dar es Salaam...Tazama picha 3 za tukio hilo...#share

Ofisi za IMMMA Advocates za wanasheria Fatuma karume na Lawrence Masha zimewaka moto Alfajiri ya Leo chanzo hakijajulikana.




UPDATES
Tumepata janga kubwa, ofisi yetu imepigwa bomu uharibifu mkubwa Polisi wapo wengi nimefika hapa Upanga tangu saa 9, mtuombee - Fatma Karume.


chanzo: Jamii Forum

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search