Breaking: Mwanahalisi ndio basi tena.. Serikali yalipiga 'pini' kwenda mitamboni kwa miezi 24.. soma matukio360 ikujuze.. #share
MWANAHALISI LAFUNGIWA: Serikali imelifungia gazeti la MWANAHALISI kwa miezi 24 kuanzia leo Septemba 19 kwa madai ya kukiuka maadili na sheria za taaluma ya uandishi wa habari na kuchapisha
Makala ya uchochezi ambapo walindika Magufuli anahitaji maombi ili aache matusi wamefungua kwa muda wa miezi 24.
Makala ya uchochezi ambapo walindika Magufuli anahitaji maombi ili aache matusi wamefungua kwa muda wa miezi 24.
No comments:
Post a Comment