Magufuli atuma rambirambi vifo wanajeshi 14...soma habari kamili na matukio360...#share
Rais John Magufuli amemtumia salamu za rambirambi waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa Dk. Hussein Mwinyi, mkuu wa majeshi ya ulinzi Jen. Venance Mabeyo, maafisa na askari wote JWTZ, familia za marehemu na watanzania kufuatia kuuawa kwa askari 14 waliokuwa katika operesheni ya ulinzi wa amani katika jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Rais John Magufuli
No comments:
Post a Comment