Mwenyekiti TEF ajiuzulu...soma habari kamili na matukio360...#share

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Theophil Makunga amejiuzulu nafasi yake kuanzia Ijumaa Machi 16, 2018.
Aliekuwa Mwenyekiti wa TEF Theophil Makunga.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa umma na Katibu wa TEF Neville Meena, Makunga amechukua hatua hiyo kwa kutumia uhuru wake binafsi kama mwanachama hai wa jukwaa hilo.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search