Wambura afungiwa maisha katika soka, apinga uamuzi huo .... soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Michael Wambura kifungo cha kutojihusisha na mpira wa Miguu maisha kwa mujibu wa kifungu cha 73(1) (c) cha Kanuni za Maadili ya TFF Toleo la 2013. Baada ya kupatikana na makosa matatu
Michael Wambura
Hata hivyo Wambura amesema kikao kilichomfungia hakina uhalali hivyo yeye anawajibika kwenye kamati ya utendaji na mkutano mkuu na sasa anasubiri barua kwa hatua nyingine.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema kuwa kosa la kwanza alilokabiliwa nalo Wambura ni kupokea fedha za TFF. Pili, malipo yasiyo halali na tatu ni kugushi barua na kushusha hadhi ya TFF.
Kamati ya Maadili ya TFF imemfungia Michael Wambura kifungo cha kutojihusisha na mpira wa Miguu maisha kwa mujibu wa kifungu cha 73(1) (c) cha Kanuni za Maadili ya TFF Toleo la 2013. Baada ya kupatikana na makosa matatu
Michael Wambura
Hata hivyo Wambura amesema kikao kilichomfungia hakina uhalali hivyo yeye anawajibika kwenye kamati ya utendaji na mkutano mkuu na sasa anasubiri barua kwa hatua nyingine.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo, amesema kuwa kosa la kwanza alilokabiliwa nalo Wambura ni kupokea fedha za TFF. Pili, malipo yasiyo halali na tatu ni kugushi barua na kushusha hadhi ya TFF.
No comments:
Post a Comment