BAADA YA KAMATA KAMATA YA 'MAKONTENA', WACHIMBAJI WADOGO WAJA NA KILIO KWA MAGUFULI !

WACHIMBAJI wadogo wa madini hapa nchini, wamemwangukia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli kuwaruhusu kuendelea na shughuli yao ya kusafirisha mchanga wenye madini ya Copper kwenda nje ya nchi na kuzuia mchanga wenye dhahabu kwa sababu haufanani

FUATANA NASI KWENYE VIDEO HII KUPITIA WWW.TANZANIAMPYAMATUKIO.BLOGSPOT.COM
 Source: Global Online Tv.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search