DIAMOND AMJIBU SHABIKI WAKE MTANDAONI!

Jibu la Diamond Platnumz kwa shabiki alieuliza kwa nini hatoi sadaka

Ni Headlines za staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz ambae hakuweza kuficha hisia zake na kumjibu shabiki ambae alicomment kwenye ukurasa wake wa instagram na kuuliza kwanini hatoi sadaka.
Diamond Platnumz alimjibu na kuyaandika haya…>>>Nimejenga nyumba 5 mwaka jana Iringa, Misikiti miwili na mmoja Morogoro na pia mwingine Mtwara na madrasa Tegeta na nyumba ya imamu mbali na sadaka unataka nitoe hela zote sadaka nami nisifurahishe nafsi yangu embu niombe radhi kwa hilo.” – Diamond

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search