OMG !! MESSI KIFUNGONI

FIFA imemfungia Lionel Messi!




Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA March 28 limetangaza taarifa ambazo haziwezi kuwa nzuri kwa mashabiki na wapenzi wa naodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye pia anaichezea FC Barcelona ya Hispania.
  FIFA jana wametangaza kumfungia mechi nne Lionel Messi kufuatia kosa alilolitenda March 24 wakati wa mchezo dhidi ya ChileMessi amefungiwa kutokana na utovu wa nidhamu wa kumtolea lugha isiyo ya kiungwana refa wa mchezo huo.
Adhabu hiyo ya Lionel Messi inaambatana na faini ya pound 8100, hivyo kufuatia adhabu hiyo Lionel Messi sasa ameanza kuitumikia kwa kukosa game ya jana dhidi Bolivia iliyomalizika kwa Argentina kupoteza kwa goli 2-0.

Habari na Picha kwa msaada wa Millard Ayo !


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search