DKT SHEIN UZINDUZI WA KITUO KIPYA CHA UNUNUZI WA KARAFUU ZSTC PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akipata maelezo ya kiufundi kutoka kwa Mkurugenzi wa kinga na Elimu ya Afya Dk.Fadhil Mohamed Abdalla wakati alipotembelea ujenzi wa kituo kipya cha Afya Ngomeni Wilaya ya Cheke Chake Mkoa wa Kusini Pemba leo, akiwa katika ziara maalum ya kikazi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Kituo kipya cha ZSTC cha kununulia Karafuu katika kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,uzinduzi huo umefanyika leo katika ziara maalum ya kikazi katika Mkoa huo,(Picha na Ikulu) 04/04/2017.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa ZSTC Dkt.Said Seif Mzee (katikati)mara baada ya kukizindua kituo cha shirika la ZSTC cha ununuzi wa Karafuu katika kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Cheke Chake Mkoa wa Kusini Pemba leo, akiwa katika ziara maalum ya kikazi,(Picha na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa ZSTC Dkt.Said Seif Mzee (katikati)mara baada ya kukizindua kituo cha shirika la ZSTC cha ununuzi wa Karafuu katika kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Cheke Chake Mkoa wa Kusini Pemba leo, akiwa katika ziara maalum ya kikazi,(Picha na Ikulu)
Maafisa mbali mbali na Wananchi wakiwa katika sherehe za Uzinduzi wa Kituo kipya cha Shirika la ZSTC cha kununulia karafuu katika Kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,uzinduzi uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hatupo pichani),(Picha na Ikulu) 04/04/2017.
No comments:
Post a Comment