Kampuni ya kutengeneza magari ya BMW ya huko Ujerumani imekuja kivingine kukabiliana na ushindani mkali katika soko la magari ya mashindano 'F1' kwa kuingiza i-Series sokoni. Magari haya yanasadikiwa ndio yatakayotumia technolojia ya kisasa zaidi (the most intelligent brain) kushinda magari ya wapinzani wake akina 'Ferari na Lamborghini' nimekuekea picha za muonekano tofauti tofauti... tupe maoni yako kuhusiana na muonekano huo...
No comments:
Post a Comment