MBUNGE SHABIBY ASEMA TATIZO SIO VIROBA, TATIZO NI HATUA ZINZOFUATWA KUZUIA VIROBA..

Tunafahamu kwamba serikali imepiga marufuku utumiaji na biashara ya vinywaji aina ya viroba, Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby alisimama bungeni na kuishauri serikali namna bora ambayo ingetakiwa kutumia kuzuia usambazaji wa vinywaji hivyo ikiwa ni pamoja na kuzuia bidhaa kutozalishwa viwandani kwanza na sio kuwakamata wauzaji kama inavyofanya hivi sasa
Shabiby anasema uzuiaji uanzie viwandani; mtazame hapa anavyoweka msisitizo ….

Source: Ayo tv

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search