MUUNGWANA NI KITENDO: #HALIMA MDEE AJIRUDI AOMBA RADHI BUNGENI KWA #KUMTUSI #SPIKA

Mbunge wa Kawe Halima Mdee jana April 25, 2017 alisimama mbele ya bunge na kuomba msamaha ikiwa ni siku kadhaa tangu atuhumiwe kwa kosa la kumtukana spika wa Bunge Job Ndugai wakati mkutano wa bunge ukiendelea.
Naahidi kuanzia sasa nitakuwa nikitoa michango yangu kwa kutumia lugha za staha!‘ 
VIDEO: Maamuzi ya Mbunge Mchengerwa atakaposikia Rais Magufuli sio mzalendo 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search