#VIROBA BADO JINAMIZI KUU.. MBUNGE AESHI HILALY ASEMA SERIKALI IWALIPE WAFANYABIASHARA!

Baada ya serikali kupiga marufuku unywaji na ufanyaji biashara ya vinjwaji aina ya viroba huku ikiweka sheria kwa wale watakaokiuka agizo hilo, Mbunge wa Sumbawanga mjini Aeshi Hilaly ameitaka serikali kuwalipa wafanyabiashara ambao tayari walikuwa wameagiza bidhaa hizo toka viwandani kabla ya agizo la serikali kutolewa.
VIDEO: Wizara ya muungano kutengewa zaidi ya Bilion 19 kama bajeti yake 2017/2018 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search