BAD NEWS! TANZIA..


Zimetufikia Habari za Kifo cha Mbunifu wa Nembo ya Taifa Mzee Kanyasu au Mzee Ngosha kama alivyofahamika zaidi, kilichotokea hivi punde, tumekuwekea Taarifa rasmi ya msiba huu mkubwa kama tulivyoipokea kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu hadi kufikwa na umauti wake..! #SHARE 
Tumepoteza mtu muhimu sana katika Historia ya Tanzania, Matukio blog inaungana na Watanzania na Taifa katika wakati huu mgumu wa Maombolezi.


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search