BREAKING NEWS!! Kamanda Sirro ndie IGP wetu Mpya!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo tarehe 28/05/2017 amemteua Bw. Simon Sirro, Kuwa Mkuu Mpya wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP)
Kamanda Sirro ambae hapo awali alikuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, amechukua nafasi ya Bw. Ernest Mangu ambae atapangiwa kazi nyengine.
Matukio Blog. inamtakia heri na ufanisi IGP Sirro katika kutekeleza majukumu yake mapya.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search