Breaking News ! Trump afanya Uteuzi wa Nafasi 'Nyeti'




Rais Donald Trump wa Marekani amemteua Sheriff  David Clarke, kuwa Afisa Mkuu wa Idara ya Ushirikiano katika Wizara ya Usalama wa Ndani ya Marekani.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Clarke ambae ametangaza kuupokea uteuzi wa Trump katika kipindi maalum cha Televiesheni leo mchana, amelazimika kujiuzulu rasmi nafasi yake ya Utumishi kama mkuu wa Utawala wa Jimbo la Milwaukee nafasi aliyoitumikia kwa miaka 16. 

Bwana Clarke pia amewahi kuhudumu nafasi mbalimbali za kiutawala katika serikali zilizopita.

Gavana wa Jimbo la Milwaukee ameupokea uamuzi wa Bw. David, ingawa amebainisha pengo lake halitazibika .

endelea kubonyeza; www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com

Ciaoo..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search