FIFA 'imenawa mikono' Rufani ya Simba kwa Kagera Sukari... yasimama na TFF

Tumepokea nakala ya Barua ya FIFA ikipigilia msumari na kuzika kabisa matumaini ya Rufani ya Simba kuinyang'anya ubingwa Dar Yanga African watoto wa Jangwani.
Katika barua hiyo FIFA imetamka kinagaubaga haina uwezo wa kimaadili wa kutengua maamuzi ya Kamati ya Rufani ya TFF kwani yamezingatia haki na kanuni za Mpira wa Miguu na sheria mama inayoiongoza TFF ambayo FIFA imetia baraka zake.
Nakala nimekuwekea hapa chini..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search