Nassor Gaddaf: Mtanzania mwenye kipaji cha ajabu 'cha kupaa na Pikipiki' ona hapa picha zake 17 akiwa mzigoni !

 MWENDESHA Pikipiki za Kimichezo, Nassor Gaddaf, akiwa hewani baada ya kuruka tuta wakati akifanya mazoezi ya mchezo huo kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, jana. Picha zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
 Waendesha Pikipiki wa Kambi ya Kinondoni jijini Dar esSalaam, wakiwa katika mazoezi ya mchezo huo kwenye Viwanja vya Tanganyika Packars Kawe jijini Dar es Salaam, jana.
MWENDESHA Pikipiki za Kimichezo, Nassor Gaddaf, akiwa hewani baada ya kuruka tuta wakati akifanya mazoezi ya mchezo huo kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe jijini Dar es Salaam, jana.
credit: habari za jamii

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search