New! Agenda 4 Kuu atakazo 'amsha' nazo Askofu Mkuu Gwaajima J'pili 28/May
Kuna waraka wa kinachosemekana kuwa ni Ratiba Rasmi ya Mkutano wa Kiroho wa Askofu Mkuu Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa siku ya J'pili tarehe 28/05/2017 katika Katika Kanisa lake Kuu la Jijini Dar es Salaam.
Ratiba hii iliyopewa jina la 'Kuamsha Dude' imekuwa kivutio kikubwa kutoka na Mikutano yake kurushwa 'mubashara' kupitia mitandao ya kijamii na kufuatiliwa na watu wengi ndani na nje ya Nchi ikiwemo wafuasi wa dini mbalimbali.
Matukio Blog imekuletea ratiba hii uweze kujua yatakayojiri...
Ratiba hii iliyopewa jina la 'Kuamsha Dude' imekuwa kivutio kikubwa kutoka na Mikutano yake kurushwa 'mubashara' kupitia mitandao ya kijamii na kufuatiliwa na watu wengi ndani na nje ya Nchi ikiwemo wafuasi wa dini mbalimbali.
Matukio Blog imekuletea ratiba hii uweze kujua yatakayojiri...
No comments:
Post a Comment