Picha 27: Ona "Legends" walivyoshuhudia Safari ya Ubingwa Chealsea..

Mbali na kuhudhuriwa na wachezaji nyota wa zamani wa Chelsea, mechi ya jana dhidi ya Middlesbrough ilimalizika kwa shabiki mmoja nguli wa klabu hiyo ya Stanford bridge kukamilisha ndoto yake kwa furaha baada ya kutembea miles 1500 kumuona John Terry kabla kuondoka klabuni hapo.
Miongoni wa superstars wa zamani wa klabu hiyo kongwe nchini Uingereza walikuwepo wachezaji Jimmy Floyd Hasslbank na Andrily Shevchenko pamoja na kocha mstaafu alieipaisha Chelsea kwa mafanikio Carlo Ancelotti.
Fuatana name ujionee picha zote 27 za matukio ya jana wakati Chelsea ikiipa kisago Middlesbrough kwa goli 3 – 0.
Jimmy Floyd Hasselbank
Carlo Ancelotti

Andrily Shevchenko

Kocha wa Chelsea Antonio Conte























About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search