Big news: Wahalifu 4 Wameuawa Kibiti.. Kuna Mkoa Mpya wa Kipolisi Umeanzishwa Rufiji.. Ujerumani 'warasimisha' ndoa za jinsia moja.. #share.. Malinzi Atoa 'tano' Uchaguzi TFF..
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro ametangaza kuanzishwa kwa Kanda Mpya ya Kipolisi Rufiji na Onesmo Lyanga ameteuliwa kuiongoza.
Awali, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng. Hamad Masauni akiongea kwenye kikao na Waandishi wa Habari mchana huu, amesema hatua hiyo ina lengo kuongeza nguvu ya kudhibiti kasi ya mauaji ya Askari na raia wasiokuwa na hatia katika maeneo ya Kibiti, Rufiji na Mkuranga.
Awali, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Eng. Hamad Masauni akiongea kwenye kikao na Waandishi wa Habari mchana huu, amesema hatua hiyo ina lengo kuongeza nguvu ya kudhibiti kasi ya mauaji ya Askari na raia wasiokuwa na hatia katika maeneo ya Kibiti, Rufiji na Mkuranga.
The moment Germany legalised same-sex marriagehttps://t.co/qnXa9A5LDl pic.twitter.com/64AGM9JeMB— BBC News (World) (@BBCWorld) June 30, 2017
Kauli hii imetusikitisha sana hasa baada ya kusikia na kuona imetolewa na Mzee tena aliyewahi kuwa kiongozi Mkuu wa Nchi yetu kwa miaka 10. pic.twitter.com/dHPdx26Loo— CHADEMA MEDIA (@ChademaMedia) June 30, 2017
#HABARI Norway yaiahidi Tanzania kuwekeza kwenye miradi mikubwa ikiwemo uzalishaji wa umeme, kuchakata gesi na kuzalisha mbolea pic.twitter.com/1uw9OymbUq— AzamTV (@azamtvtz) June 30, 2017
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro ametangaza kuanzishwa kwa Kanda Mpya ya Kipolisi Rufiji na Onesmo Lyanga ameteuliwa kuiongoza. pic.twitter.com/iI3jjkJZWF— Swahili Times (@swahilitimes) June 30, 2017
Wanafunzi wa jimboni ninaowasomesha waliponitembelea bungeni leo: https://t.co/ahDW7UbnpO via @YouTube— Hon.Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba1) June 30, 2017
Masauni: Tunaimarisha miundombinu ili polisi mkoa mpya wa Rufiji iweze kufanya kazi vizuri— Jamii Forums (@JamiiForums) June 30, 2017
- Tukimaliza tutaanza na ulinzi shirikishi#JFLeo
SPIKA ASEMA CHELEWA CHELEWA UTAKUWA MWANA SI WAKO: https://t.co/0QPF5hI18x via @YouTube— AzamTV (@azamtvtz) June 30, 2017
Rais wa TFF, @jamalmalinzi amelitakia shirikisho hilo uchaguzi mwema na kusema atakuwa tayari kushirikiana na yeyote atakayechaguliwa. pic.twitter.com/c490xgyWBf— Swahili Times (@swahilitimes) June 30, 2017
Jeshi la Polisi limesema limewaua majambazi wanne waliokuwa na SMG na risasi 17 kwenye kijiji cha Pagae Kibiti, wanatajwa kuhusika na mauaji pic.twitter.com/qmaEJ3Tdyz— millard ayo (@millardayo) June 30, 2017
— Rashid Kejo (@Power_Kejo) June 30, 2017
Waziri Mwigulu akimjibu swali Mnyika kuhusu mauaji ya kibiti na nini kinaendelea kwasasa: https://t.co/AnIx8IowCW via @YouTube— Hon.Mwigulu Nchemba (@mwigulunchemba1) June 30, 2017
Je, nani atashinda dimba la mashirikisho kati ya Ujerumani na Chile? @abullerahmed @Hassanjumaa #ZilizalaViwanjani pic.twitter.com/aq4yx35CWd— The Standard Digital (@StandardKenya) June 30, 2017
PWANI: Jeshi la Polisi limewaua watu nne wanaosadikiwa kuwa wahalifu wanaohusika na mauaji huko Kibiti, Rufiji na Mkuranga. #MKIRUKillings pic.twitter.com/zyif8St5GO— Tanzania Updates (@TanzaniaUpdates) June 30, 2017
Rais Dkt @MagufuliJP akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway, Borge Brende, aahidi ushirikiano zaidi. pic.twitter.com/hOdQklh6j0— Swahili Times (@swahilitimes) June 30, 2017
Huwezi kuwa na akili timamu unasema wenzako wajinga, mnakimbia kimbia huko hakuna cha kesi mimi ndio Spika mtu hakanyagi mwaka hapa'- Ndugai pic.twitter.com/3szueFJcn6— millard ayo (@millardayo) June 30, 2017
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kuwa haijalishi kesi ya Bulaya na Mdee itafunguliwa wapi, lakini mwaka mzima hawataingia ndani ya bunge. pic.twitter.com/72jLyoXyic— Swahili Times (@swahilitimes) June 30, 2017
No comments:
Post a Comment