MASIKINI ALLY YANGA..! JPM amuenzi asema alikuwa hodari kwa Timu yake Yanga na Chama Cha Mapinduzi.. #share


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amepeleka salaam za rambirambi kwa familia, ndugu, jamaa na wapenzi na mashabiki wa timu ya Yanga kwa kuondokewa na muhamasishaji mkubwa wa klabu na Mwananchama mtiifu wa chama cha Mapinduzi Bwana Ali Mohamed au Ali Yanga..



Katika Salamu zake, Mhe. Rais amesema alikuwa na Bw. Ali Yanga kipindi cha kampeni za Urais za mwaka 2015 na ameguswa sana..



Matukio tumekusogezea press maalum kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search