Usipitwe na headlines muhimu kwenye uchambuzi asubuhi ikiwemo.. #Share


  1. Halima Mdee nae 'ajitosa kuinanga' budget ya Serikali ya 31.7Trillion, aichambua  Bajeti kinzani akiwa kifungoni asema ni Tshs. 29.9trilion #Share.. lakini iliyojaa vyanzo na  mikakati..
  2. Arobaini ya Ripoti ya pili mchanga wa Dhahabu yatimia..
  3. Waziri Mkuu wa Zamani wa Mauritania aipa somo Zanzibar
  4. GorMahia yalamba kitita na kombe 'Mashemeji Cup'
  5. Mnyororo njia rahisi na salama kuepuka,meno mchongoko' kinywani mwako...

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search