Video: Kamishna aelezea hali ya kutisha maafisa wa kitengo walivyonasa magunia 168 ya 'Bhange' #share
Maafisa wa mamlaka ya kudhibiti na kupambana na madawaya kulevya mkoani Arusha wamekamata magunia 168 ya bangi kijiji cha Losinoni wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha
Kamishna wa intellijensia ya mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya Fredy Kibuta amewaonya wauzaji wa dawa za kulevya kusoma alama za nyakati na amewafananisha na 'wauaji'.
Kamishna wa intellijensia ya mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya Fredy Kibuta amewaonya wauzaji wa dawa za kulevya kusoma alama za nyakati na amewafananisha na 'wauaji'.
Tume ya kupambana na madawa ya kulevya imesema inaendesha operesheni endelevu ya kudhibiti na kupambana na mihadarati ambayo haitamuacha mtu, na kuwataka wananchi kubuni miradi mbali mbali ya kujipatia riziki na kuachana na biashara hiyo ambayo ni hatarishi kwa kizazi cha watanzania.
No comments:
Post a Comment