nEWS: Sakata la Waandishi wa TBC 'kutimuliwa Chadema' lachukua sura mpya; TEF ikishuka na na Waraka mzito.. #share
Jukwaa la Wahariri Tanzania(TEF) limekikemea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuwafukuza Waandishi wa Shirika la Utangazaji la Taifa la TBC katika Mkutano wa Tundu Lissu na Wanahabari uliofanyika juzi.
Wasamehewe bure.
ReplyDeleteWasamehewe bure.
ReplyDeleteni kweli kosa la kwanza haliachi mke!
ReplyDelete