News!! TEF yainyooshea kidole Channel 10.. ni kuhusu kurushwa hewani kwa Taarifa za RC Paul Makonda.. .. share

Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF limeendelea kuweka angalizo kwamba maamuzi yaliyofikiwa kuhusu kutorusha hewani Taarifa kuhusu RC Paul Makonda Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam ni endelevu mpaka itakapoamuliwa vyenginevyo..


Taarifa ya TEF imekuja kufuatia mwenendo wa hivi Karibuni wa Channel Ten na EFM kumpa coverage Mhe. Makonda jambo ambalo limekiuka Collective Solidarity..
Matukio tumenasa waraka mrefu kutoka TEF ili uendelee kuhabarika zaidi..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search