Uteuzi: TRA Yapata Bossi Mpya.. Ni Msomi Maarufu Profesa Florens Luoga.. #share

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, leo tarehe 11/07/2017 amemteua Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kushika nafasi ya Bw. Mchomvu.

Prof. Luoga ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.


#Matukio360 tumekusogezea waraka kutoka Ikulu, Jijini Dar es Salaam kama tulivyoupokea..
Tunamtakia Pro. Luoga ufanisi katika nyongeza hii ya majukumu.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search