MORNING TALK: CHADEMA yaja na 'fagio' kwa Prof. Lipumba,.. 'waziri ngeleja' 'katema mzigo kupitia CRDB Bank; angalia slip hapo chini.. Mosul huru na 'changamoto' kibao.. #share.. Ligi kuu Bara yaiva.. Kocha Mayanga aja na Mabadiliko kuivaa Rwanda..
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza operesheni maalumu ijulikanayo kama Ondoa Msaliti Buguruni (OMB) kwa lengo la kutatua mgogoro unaokikabili Chama cha Wananchi (CUF).
Operesheni hiyo ya kidemokrasia imeanza rasmi leo Julai 10, ambapo vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimelenga kumuunga mkono Katibu wa CUF, Maalim Seif.
Akizungumza jan wakati wa kutangaza operesheni hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani, Saed Kubenea amesema kuwa mgogoro huo una athari kubwa kwa vyama vya upinzani hivyo wameamua kuungana pamoja ili kuimarisha vyama vya upinzani chini ya mwavuli wa Ukawa.
Akizungumza jan wakati wa kutangaza operesheni hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani, Saed Kubenea amesema kuwa mgogoro huo una athari kubwa kwa vyama vya upinzani hivyo wameamua kuungana pamoja ili kuimarisha vyama vya upinzani chini ya mwavuli wa Ukawa.
Kubenea ambaye pia ni Mbunge wa Ubungo, ameeleza kuwa baada ya kukaa na viongozi wa CUF ili kujua kiini cha mgogoro huo wamebaini kuwa siyo mgogoro ndani ya chama, bali unachochewa na CCM wanaomtumia Profesa Lipumba ambaye wamemuita kama ni msaliti.
"Sisi kama Chadema tumeamua kuwasaidia viongozi na wanachama wa CUF kumuondoa msaliti Lipumba Buguruni na kutupa nguo zake na viongozi halali wa CUF watarudi Buguruni, "amesema Kubenea.
Kadhalika amesema pamoja na mambo mengine, chama kimeazimia kuwa Mameya wa Manispaa zote za Jiji la Dar es Salaam wasitoe ushirikiano kwa viongozi wenye ushirikiano na Profesa Lipumba - Mwananchi
===== ==============end ====
Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi, ametahadharisha kwamba kuna changamoto nyingi, licha ya ushindi katika mapambano ya kuurudisha mji wa Mosul kutoka katika himaya ya wapiganaji wa Kiislamu.
Mapigano ya miezi tisa yameharibu mji wa Mosul huku maelfu wakiwa wameukimbia mji huo na wengine wakiachwa bila makazi. Akizungumza mjini humo, bwana Abadi amesema hivi sasa ni muhimu kurudisha hali ya utulivu.
=============== ===== end ============
===== ==============end ====
Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi, ametahadharisha kwamba kuna changamoto nyingi, licha ya ushindi katika mapambano ya kuurudisha mji wa Mosul kutoka katika himaya ya wapiganaji wa Kiislamu.
Mapigano ya miezi tisa yameharibu mji wa Mosul huku maelfu wakiwa wameukimbia mji huo na wengine wakiachwa bila makazi. Akizungumza mjini humo, bwana Abadi amesema hivi sasa ni muhimu kurudisha hali ya utulivu.
=============== ===== end ============
Haider al-Abadi: Mosul bado ina changamoto nyingi https://t.co/xUYJkCYzRt— bbcswahili (@bbcswahili) July 11, 2017
Mbowe amburuta DC Hai Kortini akimdai fidia ya zaidi ya Tsh 549 milioni kwa kuharibu miundombinu ya umwagiliaji ya shamba lake- MWANANCHI pic.twitter.com/NFHhu00Mb7— Swahili Times (@swahilitimes) July 11, 2017
You can pick local firm to supply presidential ballot papers, candidates tell IEBC https://t.co/teJT3l80GD pic.twitter.com/Y17WKYyjsT— The Standard Digital (@StandardKenya) July 11, 2017
It was truly an honour to play with you. I learned a lot from you. You'll always remain a legend.@WayneRooney 👊🏾👏🏾! #MUFC #Rooney pic.twitter.com/dvdm9nW29R— Timothy fosu-mensah (@tfosumensah) July 10, 2017
An Alaskan volcano that has erupted several times since last year spewed an ash cloud up to 30,000 feet https://t.co/vPjNbqQ5hP pic.twitter.com/8P6Q5S1zcg— CNN (@CNN) July 11, 2017
Ex-probation officer gets jail time for pressuring convicts into sex https://t.co/1U5QowyJVR pic.twitter.com/zUZThz9ChK— EagleStar.NET (@EagleStarNET) July 11, 2017
Kellyanne Conway: No "meaningful" info in Trump Jr.'s Russia meeting https://t.co/8dQJDMdeYQ— TIME (@TIME) July 11, 2017
Video: Flavor. https://t.co/pTKriW8iRn pic.twitter.com/dZQhz14w98— China Plus News (@ChinaPlusNews) July 11, 2017
@halimamdee afikishwa mahakamani hii leo. Naye M/kiti wa chadema @freemanmbowetz asema kukemea kauli za Raisi ni msimamo wa chama chao. pic.twitter.com/zgptA5mqte— Kwanza TV (@kwanza_tv) July 10, 2017
#BINGWA katika kurasa za mbele na nyuma limeandika habari hiz. pic.twitter.com/24U3N3FU3o— millard ayo (@millardayo) July 11, 2017
Hii ndiyo ratiba ya hatua ya 16 bora #NdondoCup2017 baada ya droo iliyofanyika usiku wa jana @CloudsMediaLive @shaffihdauda1 #Waleteeee pic.twitter.com/5ok44JEpHw— AzamTV (@azamtvtz) July 11, 2017
World Boxing Organization: Jeff Horn rightful winner of controversial bout with Manny Pacquaio https://t.co/5ZiCja79Is pic.twitter.com/6YekpXI7UW— CNN (@CNN) July 11, 2017
[VIDEO]: Marwa asema oparesheni itaanza rasmi kesho https://t.co/Ig6tNtzjrN pic.twitter.com/faJdAlXE2u— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) July 11, 2017
Taarifa kutoka Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) kuhusu matumizi ya ndege zisizo na rubani (Drones). pic.twitter.com/K0P3GzND62— Swahili Times (@swahilitimes) July 11, 2017
Jubilee alleges conflict of interest in ballot case - Daily Nation https://t.co/ANQ9pk42md #ElectionsKe— Daily Nation (@dailynation) July 11, 2017
Haitham afafanua kwanini Wema Sepetu hakutokea kwenye video yake - https://t.co/1nVKDfFxfi pic.twitter.com/6mUvP5YI0X— bongo5.com (@bongofive) July 11, 2017
Perspective: Lessons from my son with autism, as he nears the end of high school https://t.co/FnJ9eBK4w9— Washington Post (@washingtonpost) July 11, 2017
One step closer to a gonorrhoea vaccine? https://t.co/YC0I1hHXML via @CFMLifestyle— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 11, 2017
— TFF TANZANIA (@Tanfootball) July 11, 2017
Ajali ya ndege yauwa watu 16 - https://t.co/5v7bo7hB8f pic.twitter.com/XpGkvoAaPR— bongo5.com (@bongofive) July 11, 2017
Risiti ya Bank inayoonesha Tsh. Milioni 40.4 zilizorudishwa na Waziri wa zamani na Mbunge wa Sengerema William M. Ngeleja #MillardAyoUPDATES pic.twitter.com/yNiZUeXyFG— millard ayo (@millardayo) July 11, 2017
Simba wanne watoroka mbuga ya taifa Afrika Kusini https://t.co/M7XQJuq8dp— bbcswahili (@bbcswahili) July 11, 2017
UCHAGUZI MKUU WA CCM 2017; Mambo yaliyokatazwa. pic.twitter.com/SyiwjIYye5— Chama Cha Mapinduzi (@ccm_tanzania) July 11, 2017
The Saudi-led bloc claims Qatar violated Riyadh Agreements of 2013-2014, terms of which have never been disclosedhttps://t.co/ehRT9m2VmC— DAILY SABAH (@DailySabah) July 11, 2017
💬 | Missed today's press conference? Quotes, pictures and videos all feature in our live blog. #EvertonLive ➡️ https://t.co/SmsXDFSIn3. pic.twitter.com/mCJ8g6rjIZ— Everton (@Everton) July 10, 2017
Only two Kendall + Kylie brand T-shirts featuring Tupac's image were sold before getting pulled from stores https://t.co/bDGhJ82WJw— TIME (@TIME) July 11, 2017
The purchase of a Serbian steel smelter by a China firm highlights Beijing's ambition, US retreat from global stage. https://t.co/UIVpFFc0hP— The Associated Press (@AP) July 11, 2017
Team Kenya moves into athletes village at Kenyatta university.https://t.co/wv82OOe0mx— NTV Kenya (@ntvkenya) July 11, 2017
Rais @MagufuliJP amteua Prof. Florens D.A.M Luoga kuwa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato TRA #KwanzaHabari pic.twitter.com/wsGjpRTuCo— Kwanza TV (@kwanza_tv) July 11, 2017
Miguna Miguna’s unemployment statistics do not add up https://t.co/Yumtt55pxp pic.twitter.com/wcl1kUdSoq— The Standard Digital (@StandardKenya) July 11, 2017
No comments:
Post a Comment