GUMZO: JPM amtaka Waziri Mwijage kuchukua hatua kwa walioshindwa kuviendeleza viwanda walivyouziwa.. #share

Rais wa Jamhuri ya Muungano amemtaka Waziri amemtaka Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Charles Mwijage kuchukua hatua kwa walioshindwa kuviendeleza viwanda walivyouziwa.

Mhe. Rais ametoa agizo hilo muda mfupi kabla ya kufungua kiwanda cha kuzalisha Saruji cha Kilimanjaro alipokuwa akiendeleza ziara yake Mkoani Tanga juzi..



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search